Jumatatu, 27 Februari 2017

Cotton printed suits

Cotton printed suits available best for this hot season
Price 35000/-
Contact 0656822822
Plz inbox for more information or what's app
Free delivery

FURSA >>>>crowdrising

FURSA. FURSA
TENGENEZA MAMILIONI YA PESA KWA MTAJI MDOGO NA CROWD RISING NI Tsh 20,000/=TU.
Fursa hii ni kwa watu wote bila kujali kiwango cha elimu,mwajili au mwajiliwa au umejiajili au asiyekuwa na ajira. Ni kwa watu woye wenye kiu na maendeleo KIUCHUMI .
Tumia 20,000/= utimize ndogo zako
Comment namba yako upate elimu zaidi/ kutosha tuanzee maabadiliko.
(UOGA WAKO NDIYO UMASIKINI WAKO)
KARIBUNI WOTE.

sofa set inauzwa dar..

Price:700,000tsh
Clean Condition
Call/Whatsapp:0716900904

MacBook Pro i5

HDD 500GB RAM 4GB
0786988866
WhatsApp:0715988866

Tunakopesha viwanja....

HACREF FINANCE LTD. Iko Ilala Boma, Mwalimu House, Ghorofa ya Tano. #0712792341#
Inakopesha Viwanja. Kigamboni, Chanika, Pugu, Mbezi Makabe. Muda wa kulipa miezi 8-18. Kianzio maelewano. Bei kwa square mita kati ya 11,000/- Chanika, 16,000/- Pugu, 20,000/- Kigamboni A , 11,000/- Kigamboni B, 25,000/- Makabe.

TANGAZA NASI>>>>>BUREEEEEE!!!!!

Tuma tangazo lako sasa,la biashara,kipaji,ubunifu wako sasa ili tanzania nzima iweze kukufahamu na uweze pata mafanikio na kutimiza ndoto zako...

tuma tangazo lako kwa:-
Email: eddybosco00@gmail.com

edwinfweny00@gmail.com

au
FB.edwin fweny..



Zehra collection

Sasa huenda Godbless Lema akaachiwa kwa Dhamana

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema akiwasili mahakamani leo.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe akiwa ameongozana na Mbunge wa Kibamba wakiwasili katika Mahakama ya Rufani Arusha Leo, Jumatatu 27/02/2017 kusikiliza shauri la Mbunge Godbless Lema.
Viongozi wengine waliofika mahakamani leo ni Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa, Dkt. Vincent Mashinji, Mjumbe wa Kamati Kuu, Prof. Mwesiga Baregu, Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye, Meya wa jiji la Arusha, Calist Lazaro, Katibu wa CHADEMA Arusha, Aman Golugwa na viongozi mbalimbali wa CHADEMA.
ARUSHA: Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ikiongozwa na majaji watatu, iliyokaa Arusha leo Februari 27, 2017 imetupilia mbali Rufaa zote mbili zilizofunguliwa na Serikali dhidi ya maamuzi ya Mahakama Kuu Kanda ya Arusha kuhusu pingamizi la dhamana ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema.
Wakili wa Lema, Peter Kibatala amesema kuwa tangu awali waliwaambia serikali kuwa rufaa hizo mbili walizozifungua dhidi maamuzi ya mahakama kuu kuwa hazikuwa na mantiki yoyote kisheria.
Hata hivyo, mahakama hiyo imetoa maelekezo kuwa jalada la kesi hiyo lipelekwe Mahakama Kuu ili kuendelea na mchakato wa kumpatia dhamana katika kesi inayomkabili kwani hakuna hoja ya msingi kwa rufaa iliyokatwa na mawakili wa serikali.
Majaji wamesema wamesoma mapingamizi ya mawakili wa serikali bila kuona tija yoyote ya kisheria kwa hiyo imetoa amri kwa Mahakama Kuu kulishughulikia suala la Godbless Lema haraka.
Mbunge huyo aliyekamatwa Novemba 2 mwaka jana, mjini Dodoma na kusafirishwa hadi Dar kisha kufunguliwa kesi ya uchochezi, amesota rumande kwa takribani miezi minne sasa na leo amerejeshwa tena rumande baada ya mahakama kuamuru kesi yake iriejeshwe kwenye

ELIMU YA UJASILIAMALI 2 (by hakielimu)

Habari yako ndugu msomaji wa nakara hii.
nakara hii ni kwaajili ya kutoa elimu juu ya ujasiriamali apa nchini ikiwa ni njia moja wapo ya kujikwamua na umaskini.Nakara hii imeandaliwa na shirika binafsi la 'haki elimu'ikiwa na lengo la kumpa elimu kila mtanzania katika swala zima la ujasiliamali.

kusoma nakara hii <bofya hapa>

ELIMU YA UJASILIAMALI


Misingi Mitano(5) Muhimu Ya Kufanikiwa Kwenye Ujasiriamali na Biashara.

Katika ulimwengu wa sasa ambao ajira zimekuwa ngumu na shida kupatikana, ujasiriamali na biashara vimekuwa ndio kimbilio la wengi. Watu wengi wanaingia kwenye biashara kama njia kuu ya kujipatia kipato.
Pamoja na biashara kuonekana kuwa kimbilio la wengi sio wote wanaoingia kwenye biashara wanafanikiwa. Tafiti zinaonesha kwamba asilimia tisini ya biashara zinazoanzishwa zinakufa mwaka mmoja baada ya kuanzishwa. Na hata hizo zinazovuka mwaka mmoja asilimia tisini hufa baada ya miaka mitano. Hivyo kama mwaka huu zimeazishwa biashara mia moja basi miaka mitano ijayo ni biashara moja tu itakayokuwa bado inadumu.

Kwa nini biashara nyingi zinashindwa kudumu?

Biashara nyingi zinakufa kutokana na ukosefu wa elimu muhimu kuhusiana na biashara na ujasiriamali. Watu wengi wanaoingia kwenye biashara wanaingia kwa kuangalia tu ni kitu gani watu wengine wanafanya na wao kufanya hivyo hivyo.

Biashara ni rahisi sana kufanya ila ni ngumu kuendesha na kuikuza mpaka iweze kukupa faida kubwa sana. Ili uweze kuendesha na kukuza biashara itakayokupa faida kubwa ni muhimu kuchukua muda na kujifunza vitu vya muhimu vinavyohusiana na biashara.

Leo tutajifunza misingi mitano muhimu ya biashara ambayo kila biashara inatakiwa kuizingatia. Wewe kama mjasiriamali una jukumu la kujifunza na kufuata misingi hii ili uweze kufikia malengo yako kwenye ujasiriamali na biashara.

Misingi mitano muhimu ya biashara.

Ili biashara yoyote iweze kudumu na kukua inahitaji kufuata misingi ifuatayo.
  1. Kutengeneza thamani.
Ili biashara iweze kukua na kutengeneza faida ni lazima itengeneze bidhaa au huduma ambayo ni ya thamani kwa wateja. Ni lazima utoe bidhaa au huduma ambayo watu wanaihitaji sana ili kuboresha maisha yao. Kama hujaanza biashara fikiria ni kitu gani cha thamani ambacho watu wanakihitaji ila wanakikosa, kisha anza kuwapatia na utajenga biashara kubwa. Kama tayari unafanya biashara angalia ni kitu gani cha thamani unachotoa kwa watu na angalia jinsi unavyoweza kuboresha ili kupata wateja wengi zaidi.
  1. Soko.
Kuwa na kitu chenye thamani pekee bado haikutoshi kutengeneza biashara kubwa, ni lazima kuwe na soko linalohitaji bidhaa au huduma hiyo. Hata kama soko lipo bado sio rahisi kwa kila mtu kujua kwamba unatoa huduma muhimu. Hivyo ni muhimu kutafuta soko la biashara yako kwa njia mbalimbali zikiwemo matangazo. Inakubidi uhakikishe watu wanajua uwepo wa biashara yako na utengeneze uteja ili watu waje kupata thamani unayotoa. Kukosa soko la uhakika ni chanzo cha kufa kwa biashara nyingi.
  1. Kuuza.
Ili biashara ikue ni lazima uweze kuuza thamani uliyotengeneza. Ni muhimu uweze kuwashawishi watu wanunue bidhaa au huduma unayotoa. Kuuza ndio moyo wa biashara ambapo kama usipokuwa makini ni rahisi kwa biashara kufa.
  1. Kufikisha thamani.
Kama umewaahidi wateja wako kwamba bidhaa ama huduma unayotoa itaboresha maisha yao basi hakikisha hicho ndio kitu kitakachotokea kwa wateja. Ni lazima uweze kufikisha thamani uliyoahidi kwa wateja. Kwa kushindwa kufanya hivi wateja watakuona wewe ni tapeli na hawatanunua tena bidhaa yako. Kama biashara itashindwa kutengeneza wateja wanaojirudia ni lazima itakufa.
  1. Fedha.
Usimamizi wa fedha ni muhimu sana kwenye biashara. Ili biashara iweze kudumu ni lazima iweze kutengeneza mapato makubwa kuliko matumizi na uzalishaji. Ni lazima iweze kuzalisha fedha za kutosha kuiendesha na ibaki faida. Ukosefu wa fedha unaotokana na mauzo kidogo na matumizi makubwa ndio chanzo cha kufa kwa biashara nyingi.
Misingi hii mitano ni muhimu sana kwa biashara. Hakuna msingi ambao unaweza kusema ni muhimu zaidi ya mwingine, yote inategemeana. Ili biashara yoyote iweze kudumu ni muhimu kuzingatia misingi hiyo.

Tengeneza pesa sasa na ELNET Africa.

Kampuni ya elnet africa inawatangazia umma kwa ujumla juu ya fursa ya kujikwamua kimaisha kwa mtaji wako mdogo wa shilingi 10,000 na kuweza kutengeneza ma milioni  kwa miezi michache tu,bila kuharibu shughuli zako..Inakuwezesha kuingiza hadi kiasi  cha 720,000 Tsh kwa siku 48 tu.

ewe unaehitaji mafanikio,sasa ni wakati wako,changua ELNET kwa mafanikio zaidi..



comment kama uko tayari nikuunganishe moja kwa moja na wanja wa mafanikio ELNET
na pia comment ili nikujuze zaidi kuhusu namna Elnet ina fanya kazi....